12:37 AM
PICHA ZA WAIGIZAJI WA KIKE WATAKAO ITEKA NOLLYWOOD MWAKA 2012
April 30, 2012
Labels:
Asili Yetu blog
12:04 AM
LYRICS
WANAMUZIKI GHANA WAIDISS NIGERIA- THANK GOD WE ARE NOT A NIGERIANS.
All rights reserved to Asili Yetu.
Ghanaian Group, FOKNBOIZ have released a single titled THANK GOD WE ARE NOT A NIGERIANS (Never mind their Gbagaun).
LYRICS
Kofi is a common name, that’s what even I say
But a Ghana man will never call a child Friday
Thank God we’re not Nigerians
Always shouting very loud, don’t know how to whisper
And why say Mistor, instead of Mister
Thank God we’re not a Nigerians
But a Ghana man will never call a child Friday
Thank God we’re not Nigerians
Always shouting very loud, don’t know how to whisper
And why say Mistor, instead of Mister
Thank God we’re not a Nigerians
You like school more than any African I’ve seen
Simple thirteen, you still say tharteen
Thank God we’re not a Nigerians
Simple thirteen, you still say tharteen
Thank God we’re not a Nigerians
They ban the whole team, you can’t even play
Can’t you just say Hi, what is Ki lon sele
Thank God we’re not a Nigerians
Can’t you just say Hi, what is Ki lon sele
Thank God we’re not a Nigerians
You barely qualify, then get stuck
President Goodluck but you still suck
Thank God we’re not Nigerians
President Goodluck but you still suck
Thank God we’re not Nigerians
Instead of Hamburger or Pizza with ham
You eat Egusi with pounded yam
Thank God we’re not Nigerians
You eat Egusi with pounded yam
Thank God we’re not Nigerians
Always trying to show off, even when you eat
One soup, no vegetable but twelve different meat
Thank God we’re not a Nigerians
One soup, no vegetable but twelve different meat
Thank God we’re not a Nigerians
Fela was a great Musician, yes of course
(Inaudible) something drugs
Thank God we’re not Nigerians
(Inaudible) something drugs
Thank God we’re not Nigerians
You created Nollywood,yes more of it
But too many witches and wizards in your film
Thank God we’re not a Nigerians
But too many witches and wizards in your film
Thank God we’re not a Nigerians
Always in traditional wear everywhere
Haven’t you hear of Armani wear
Thank God we’re not a Nigerians
Haven’t you hear of Armani wear
Thank God we’re not a Nigerians
For example shining five piece agbada
You can look very good in Dolce and Gabbana
Thank God we’re not a Nigerians
You can look very good in Dolce and Gabbana
Thank God we’re not a Nigerians
Not going anywhere fast, let’s just stroll
Traffic everywhere, many bad bad roads
Thank God we’re not a Nigerians
Traffic everywhere, many bad bad roads
Thank God we’re not a Nigerians
No street light from Oregun to Ikeja
Four four, join join two two on okada
Thank God we’re not a Nigerians
Four four, join join two two on okada
Thank God we’re not a Nigerians
Extra page in your passport to pass and go
You have learn very well from Obasanjo
Thank God we’re not Nigerians
You have learn very well from Obasanjo
Thank God we’re not Nigerians
Email fraud, Pyramid, 419
Oh that’s not fine
Thank God we’re not a Nigerians
Oh that’s not fine
Thank God we’re not a Nigerians
But at least you are better than Liberians
So thank God you’re not a Liberians
SOURCE: amebor.com
Labels:
Asili Yetu blog
10:47 PM
ACTRESS TWINS FROM NOLLYWOOD LEAVE PEOPLE IN DILEMMA
All rights reserved to Asili Yetu.
![]() |
| Enugu celebrity twins, Chidiebere and Chidinma Aneke are no strangers to movie buffs in Nigeria . |
It is not always common to see twins who would want to take the same path in life?
We both went into acting because we loved and wanted to act. Before this time, we sat and talked about it. We knew what we were good at doing and it has being fun. At the moment, we are still on top of our games. Acting is our dream and we are happy doing what we enjoy doing. So, most times, we act twin roles and twin characters. Nigeria has not really reached the stage where one actor can really act twin roles successfully hence, identical twins in that kind of production saves the day.
We both went into acting because we loved and wanted to act. Before this time, we sat and talked about it. We knew what we were good at doing and it has being fun. At the moment, we are still on top of our games. Acting is our dream and we are happy doing what we enjoy doing. So, most times, we act twin roles and twin characters. Nigeria has not really reached the stage where one actor can really act twin roles successfully hence, identical twins in that kind of production saves the day.
Have you in the course of acting done twin roles?
Yes, we have done a lot of twin characters and they were great movies.
Tell us a little about the movies you have done together?
We have done Crazy Twins, Jealous Friends, Desperate Twins, Lagos Girls, Broken Ambition, Revenge of the gods and many others.
What do you think can divide the two of you?
Marriage can divide the two of us. But we have prayed to marry twin brothers and that our marriages should take place on the same day. But we say this because we are just humans. God’s will definitely grant us all of our wishes.
You have been praying to marry twins as you said. Have you ever dated any?
We haven’t seen a reason to date any perhaps because the ones we have met so far have questionable characters. Sometimes, we noticed that the twin brothers would prefer just one of us. We cannot obviously allow that to happen. We love ourselves so much that we cannot allow men to tear us apart. At the moment, we are waiting for God’s guidance.
We haven’t seen a reason to date any perhaps because the ones we have met so far have questionable characters. Sometimes, we noticed that the twin brothers would prefer just one of us. We cannot obviously allow that to happen. We love ourselves so much that we cannot allow men to tear us apart. At the moment, we are waiting for God’s guidance.
We have seen situations where identical twins hate each other to the extent of one taking the life of the other. What do you think is binding two of you together?
Love is the factor and we cannot imagine death of either of us. The other thing that binds us together is majorly the grace of God.
Have you girls ever switched lovers before?
No! We haven’t . But we have experienced something like that while we were growing up. At that time, the guy asked Chidinma out but she wasn’t interested in him, we wanted to play games with him, by going for his money. So, l was always at the guy’s house pretending to be Chidinma while extorting money from him. This went on until l was nearly raped by the guy in question. But we had to call off the game after that incident.
No! We haven’t . But we have experienced something like that while we were growing up. At that time, the guy asked Chidinma out but she wasn’t interested in him, we wanted to play games with him, by going for his money. So, l was always at the guy’s house pretending to be Chidinma while extorting money from him. This went on until l was nearly raped by the guy in question. But we had to call off the game after that incident.
From then on, we have lived with the principle of not eating what we are not interested in from the beginning.
What happens in a situation where both of you are lucky in terms of meeting Mr. right. May be,Chidebere is lucky, and Chidinma is not?
My sister knows what’s good for me and likewise, I know what’s good for her. So, if we unfortunately meet two brothers who wish to date us and one of them misbehaves then, we’ll have to call off the relationship with the two brothers. Chidiebere and I were born on the same day. We are identical twins. So we intend to get married on the same day. I do not want to get married while my twin sister is unmarried. We must get married on the same day.
What if you meet two guys, who are not twins, yet they are responsible and wish to marry you and your twin sister on the same day?
When that happens then, we ‘ll study them and talk to God about them. If it is the will of God, why not?
Is that why you are not married yet?
Yes
Are you saying if you do not get men who would marry both of you on the same day, you wouldn’t marry at all?
What we are trying to explain is this: Our dowry can be paid separately, but when it comes to traditional marriage and the church wedding, we plan to do it on the same day. That’s not too much to ask!
Labels:
Asili Yetu blog
10:17 PM
KANYE WEST ABAMBWA AKIPANDISHA NGUO YA NDANI WAKATI AKIWA NA KIM KARDASHIAN
All rights reserved to Asili Yetu.
![]() |
![]() |
Labels:
Asili Yetu blog
10:50 PM
MAISHA YA KIJIJINI HUWA NA VIJIMAMBO NA CHANGAMOTO KAMA HIZI.
April 28, 2012
All rights reserved to Asili Yetu.
![]() |
| Hii ni nyumba ya msonge ambayo wakazi wa kijiji cha Nyichoka mkoani mara, huitumia kulazia mifugo (Mbuzi) |
Kuna aina nyingi sana za maisha, lakini kunaaina kuu mbili za maisha, nazo ni maisha ya mjini na kijijini.Ni wazi kuwa wakazi wa mjini hutegemea saana vijijini hasa katika swala zima la mazao. Hakuna ubishi kuwa maisha ya kijijini ni tabu tupu, hasa katika huduma za kijamii kama maji, zahanati, vyombo vya habari, elimu, miundo mbinu na vingine vingi kama imani potofu.
Ukabila nao unachukua kasi kubwa katika jamii kadhaa huko vijijini, nikitu cha kushangaza mpaka leo makabila flani bado yanajitenga na makabila mengine, ni sawa kwasababu kila kabila lina miiko yao na tamaduni zake. Lakini wahenga walisema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, kisawahili ni nguzo pekee inayounganisha watu wote tokea mwaka wa 1961 wakati Tanganyika ikipata uhuru wake mpaka sasa, hivyo ni vyema watanzania tukaweka tofauti zetu pembeni na kufanya maendeleo.
Huenda leo hii ningepata nafasi ya kuulizwa ungependa nini watu wa kijijini wafanyiwe , basi ningekuwa na meengi ya kueleza, lakini hili pia ni moja wapo; ningepeda baadhi ya vipindi vya Luninga na Redio vipewe udhamini huko ndani kabisa vijijii ambako mpaka leo wananchi wanajua kuwa Nyerere ndio rais mpaka sasa.
![]() |
| Hiki ni chombo maalum kilichotengenezwa kwa kutumia fito za miti kwaajiri ya kusafirishia mbolea aina ya samadi kwenda shambani. |
Labels:
Asili Yetu blog
7:41 PM
NEW SONG - TORGIZZLE + NGASEP. FT. CINDY RULZ + Number One (finale).
April 25, 2012
Labels:
Asili Yetu blog
6:44 PM
Mwanadada MirryCandle alodrop video ya "CandleLight" amefanya cover song ya "judgement day" kumuenzi Whitney houston."She was and will forever be my inspiration katika kufaya music!wimbo nimerecord pande za noizmekah.com kama tribute kwake marehem,in loving memory"..
'JUDGMENT DAY' YA WHITNEY HOUSTON YA IMBWA TENA NA MSANII 'MIRRYCANDLE' KWA KUMUENZI.
All rights reserved to Asili Yetu.
Mwanadada MirryCandle alodrop video ya "CandleLight" amefanya cover song ya "judgement day" kumuenzi Whitney houston."She was and will forever be my inspiration katika kufaya music!wimbo nimerecord pande za noizmekah.com kama tribute kwake marehem,in loving memory"..
Labels:
Asili Yetu blog
12:27 PM
2FACE IDIBIA - EXCLUSSIVE INTERVIEW.
All rights reserved to Asili Yetu.
![]() |
| 2FACE IDIBIA |
How are preparations for your concert coming along?
So far everything has been running smoothly and I’m looking forward to a good show
It’s been 2 years you dropped your last album, how come you’ve been laying low musically?
I have not really been on the low per sec, because some of the videos to the songs I released just came out.
The anticipation level for your new album is high, do you feel nervous about it?
I feel very tense, you
know, because the expectation from the fans and people is high and you
know I have to deliver. I know I have a couple of good songs on the
album, so I’m just waiting for the fans to decide. It’s a like football
match in my mind and the fans are the referee (Laughs).
When you were a little boy, did you think you’d become a musician?
That’s all I have ever dream t of, me being a musician singing on stage.Where were you born?
I was born in Jos but both my parents are from Benue State.
You know they say something about Jos, the city breeds a lot of talent.
Yeah. I think Jos has always been a
peaceful place, and it’s the coldest part of Nigeria, so people like to
go there and relax because of the weather. Also, many people from the
old school days that were ‘somebody’ lived in Jos, and when you have a
generation of people that think great, two [or] three generations from
there will think alike; that’s why you see a lot of talent coming from
Jos.
A lot of people don’t know much about your family, could you break it down for us?
We are a family of six; my parents and we four boys, no girls o (Laughs)
Did your parents love music?
Yeah, they were music lovers, and we
used to listen to a lot of music. The one genre that caught my attention
was reggae and the one musician that really caught me was Bob Marley.
Bob Marley was very inspiring, because of him I started feeling Jimmy
Cliff and then the Jackson 5. In the Nigerian scene it was Fela, Sony
Okosun, Bongos Ikwue, Christy Essien-Igbokwe and Oriental Brothers.
How often do you see your parents these days?
As often as time
permits, sometimes it could be a month; other times, three day
intervals. Really, it’s as often as time permits me.
At what age did u write your first song?
When I was 9 or 10
A lot of musicians say they started singing in church. Did u start in the choir?
I didn’t start from the choir per se but I went to a Catholic school so at one point I joined the choir.
Labels:
Asili Yetu blog
11:00 AM
ORODHA YA WABUNGE WALIOWEKA SAHIHI YA KUTOKUWA NA IMANI NA WAZIRI MKUU.
April 24, 2012
All rights reserved to Asili Yetu.
![]() |
| Kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni Freeman Mbowe akiweka sahihi katika fomu ya majina ya wabunge wasiokuwa na imani na Waziri Mkuu Mizengo Pinda. |
1.
Mhe. Rashid Ali Abdallah – cuf
2. Mhe . Chiku Aflah Abwao- chadema
3. Mhe . Saluim Ali Mbarouk – cuf
4. Mhe . salum Khalfam Barwany – cuf
5. Mhe . Deo Haule Filikuchombe- ccm
6. Mhe.Pauline Philipo Gekul- chadema
7. Mhe. Asaa Othman Hamad-cuf
8. Mhe. Prof.Kuliyokela Kahigi- Chadema
9. Mhe.Naomi Mwakyoma Kaihula – chadema
10. Mhe . Sylvester Kasulumbayi- chadema
11. Mhe. Raya Ibrahim Khamis – chadema
12. Mhe. Mkiwa Hamad Kiwanga – cuf
13. Mhe. Susan Limbweni Kiwanga- chadema
14. Mhe. Grace Sindato Kiwelu –chadema
15. Mhe. Kombo Khamis Kombo – cuf
16. Mhe. Joshua Samwel Nassari – chadema
17. Mhe. Tundu Antiphas Lissu- chadema
18. Mhe Aphaxar Kangi Lugola- ccm
19. Mhe susan Anselim Lymo- chadema
20. Mhe. Moses Machali – NCCR Mageuzi
21. Mhe. John Shibuda Magalle – Chadema
22. Mhe. Faki Haji Makame- Cuf
23. Mhe . Esther Nicholas Matiko- chadema
24. Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi- Chadema
25. Mhe. Freman Aikaeli Mbowe- chadema
26. Mhe. Kurudhum Jumanne Mchuchuli – chadema
27. Mhe. Halima James Mdee-chadema
28. John John Mnyika- Chadema
29. Mhe. Augustino Lyatonga Mrema- TLP
30. Mhe . Maryam Salum Msabaha- chadema
31. Mhe. Peter Msingwa-chadema
32. Mhe. Christowaja Gerson Mtinda- chadema
33. Mhe. Philipa Geofrey Mturano- chadema
34. Mhe. Christina Lissu Mughwai- chadema
35. Mhe. Joyce John Mukya – chadema
36. Mhe. Mchungaji Israel Yohane Natse – chadema
37. Mhe. Philemon Ndesamburo- chadema
38. Mhe. Ahmed Juma Ngwali- – cuf
39. Mhe. Vincent Josephat Nyerere- chadema
40. Mhe. Rashid Ali Omar- cuf
41. Meshack Jeremiah Opulukwa- chadema
42. Mhe. Lucy Philemon Owenya- chadema
43. Mhe. Rachel Mashishanga- Chadema
44. Mhe. Mhonga Said Ruhwanya – chadema
45. Mhe. Conchesta Rwamlaza – Chadema
46. Mhe. Moza Abedi Saidy- cuf
47. Mhe. Joseph Roman Selasini – Chadema
48. Mhe. David Ernest Silinde- chadema
49. Mhe Rose Kamili Sukum – chadema
50. Mhe. Cecilia Daniel Paresso- chadema
51. Mhe .Kabwe Zuberi Zitto- Kigoma Kaskazini
52. Mhe. Magdalena Sakaya – Cuf
53. Mhe Rebecca Mngodo- Cuf
54. Mhe. Sabreena Sungura -chadema
55. Mhe. Hamad Rashid Mohammed- CUF
56. Mhe. Rukia Kassim Ahmed (Cuf)
57. Mhe. Mustapha Boay Akoonay (Chadema)
58. Mhe. Abdalla Haji Ali (CUF)
59. Mhe. Khatibu Said Ali (CUF)
60. Mhe. Hamad Ali Hamad (CUF)
61. Mhe. Riziki Omar Juma (CUF)
62. Mhe Haji Khatibu Kai (CUF)
63. Mhe. Anna Marystella John Malack -Chadema
64. Mhe. Hamad Rashid Mohamed (CUF)
65. Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed (CUF)
66. Mhe. Thuwayba Idrissa Muhamed (CUF)
67. Mhe. Masoud Abdallah Salum (CUF)
68. Mhe. Muhamad Ibrahim Sanya (CUF)
69. Mhe. Ali Khamis Seif (CUF)
70. Mhe. Haroub Muhammed Shamis (CUF)
71. Mhe. Amina Amour Nassoro (CUF)
2. Mhe . Chiku Aflah Abwao- chadema
3. Mhe . Saluim Ali Mbarouk – cuf
4. Mhe . salum Khalfam Barwany – cuf
5. Mhe . Deo Haule Filikuchombe- ccm
6. Mhe.Pauline Philipo Gekul- chadema
7. Mhe. Asaa Othman Hamad-cuf
8. Mhe. Prof.Kuliyokela Kahigi- Chadema
9. Mhe.Naomi Mwakyoma Kaihula – chadema
10. Mhe . Sylvester Kasulumbayi- chadema
11. Mhe. Raya Ibrahim Khamis – chadema
12. Mhe. Mkiwa Hamad Kiwanga – cuf
13. Mhe. Susan Limbweni Kiwanga- chadema
14. Mhe. Grace Sindato Kiwelu –chadema
15. Mhe. Kombo Khamis Kombo – cuf
16. Mhe. Joshua Samwel Nassari – chadema
17. Mhe. Tundu Antiphas Lissu- chadema
18. Mhe Aphaxar Kangi Lugola- ccm
19. Mhe susan Anselim Lymo- chadema
20. Mhe. Moses Machali – NCCR Mageuzi
21. Mhe. John Shibuda Magalle – Chadema
22. Mhe. Faki Haji Makame- Cuf
23. Mhe . Esther Nicholas Matiko- chadema
24. Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi- Chadema
25. Mhe. Freman Aikaeli Mbowe- chadema
26. Mhe. Kurudhum Jumanne Mchuchuli – chadema
27. Mhe. Halima James Mdee-chadema
28. John John Mnyika- Chadema
29. Mhe. Augustino Lyatonga Mrema- TLP
30. Mhe . Maryam Salum Msabaha- chadema
31. Mhe. Peter Msingwa-chadema
32. Mhe. Christowaja Gerson Mtinda- chadema
33. Mhe. Philipa Geofrey Mturano- chadema
34. Mhe. Christina Lissu Mughwai- chadema
35. Mhe. Joyce John Mukya – chadema
36. Mhe. Mchungaji Israel Yohane Natse – chadema
37. Mhe. Philemon Ndesamburo- chadema
38. Mhe. Ahmed Juma Ngwali- – cuf
39. Mhe. Vincent Josephat Nyerere- chadema
40. Mhe. Rashid Ali Omar- cuf
41. Meshack Jeremiah Opulukwa- chadema
42. Mhe. Lucy Philemon Owenya- chadema
43. Mhe. Rachel Mashishanga- Chadema
44. Mhe. Mhonga Said Ruhwanya – chadema
45. Mhe. Conchesta Rwamlaza – Chadema
46. Mhe. Moza Abedi Saidy- cuf
47. Mhe. Joseph Roman Selasini – Chadema
48. Mhe. David Ernest Silinde- chadema
49. Mhe Rose Kamili Sukum – chadema
50. Mhe. Cecilia Daniel Paresso- chadema
51. Mhe .Kabwe Zuberi Zitto- Kigoma Kaskazini
52. Mhe. Magdalena Sakaya – Cuf
53. Mhe Rebecca Mngodo- Cuf
54. Mhe. Sabreena Sungura -chadema
55. Mhe. Hamad Rashid Mohammed- CUF
56. Mhe. Rukia Kassim Ahmed (Cuf)
57. Mhe. Mustapha Boay Akoonay (Chadema)
58. Mhe. Abdalla Haji Ali (CUF)
59. Mhe. Khatibu Said Ali (CUF)
60. Mhe. Hamad Ali Hamad (CUF)
61. Mhe. Riziki Omar Juma (CUF)
62. Mhe Haji Khatibu Kai (CUF)
63. Mhe. Anna Marystella John Malack -Chadema
64. Mhe. Hamad Rashid Mohamed (CUF)
65. Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed (CUF)
66. Mhe. Thuwayba Idrissa Muhamed (CUF)
67. Mhe. Masoud Abdallah Salum (CUF)
68. Mhe. Muhamad Ibrahim Sanya (CUF)
69. Mhe. Ali Khamis Seif (CUF)
70. Mhe. Haroub Muhammed Shamis (CUF)
71. Mhe. Amina Amour Nassoro (CUF)
Na Mpekuzi.
10:44 AM
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AHITIMISHA KIKAO CHA BUNGE KWA KUSEMA HAYA..
All rights reserved to Asili Yetu.
*ALIPOULIZWA AKACHEKA, MKONO NAE AWEKA SAINI AONDOLEWE, UFISADI MALIASILI UNATISHA
WAKATI wabunge wakiendelea kusaini fomu ya majina ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kiongozi huyo wa shughuli za Serikali bungeni jana alikwepa kuzungumzia hatua za kinidhamu dhidi ya mawaziri wanaokabiliwa na tuhuma mbalimbali.
Akiahirisha Mkutano wa Saba bungeni Dodoma, Pinda hakugusia suala la kujiuzulu kwa mawaziri wanane na badala yake alisema: “Siku zote Serikali imekuwa tayari kupokea ushauri wa Bunge baada ya kusikiliza mjadala na mapendekezo ya waheshimiwa wabunge.’’
Baada ya kuahirishwa kwa Bunge hadi Juni 12, mwaka huu. Pinda akiwa nje ya Bunge alikwepa kuzungumzia suala hilo licha ya kubanwa na waandishi wa habari na badala yake alicheka: "Haahaa," kisha akaingia kwenye gari na kuondoka.
Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe alisema kitendo cha Pinda kushindwa kuzungumzia chochote kuhusu agizo la wabunge kutaka mawaziri wanane wawajibishwe, kimewaacha wananchi katika hofu.
Alisema Waziri Mkuu ametoa hotuba nyepesi kama vile taifa haliko katika giza kutokana na Bunge kutaka kuwajibishwa kwa mawaziri hao na kuapa kulifikisha suala hilo kwa wananchi.
“Aliahirisha shughuli za Bunge kama hakuna kitu kikubwa kilichohitaji majibu ya Serikali, wananchi walitaka kusikia mawaziri waliotajwa kwa tuhuma za ufisadi wakiwajibishwa lakini, hakuna chochote kilichofanyika. Sasa sisi tutakwenda kwa wananachi.
Jumamosi iliyopita, Pinda aliahidi kuwa jana Serikali ingeweka hadharani msimamo wake kuhusu suala baadhi ya mawaziri kutakiwa kujiuzulu lakini hakutekeleza ahadi yake.
Jana, Waziri Mkuu alisema Serikali itachukua hatua stahiki kuimarisha usimamizi na utendaji ndani ya wizara, Serikali za Mitaa na vyombo husika katika kuhakikisha watendaji wake wanafanya kazi kwa umakini.
Mawaziri wazidi kubanwa
Wakati Pinda akikwepa kuzungumzia suala hilo, joto la mawaziri kutakiwa kujiuzulu linazidi kupanda baada ya vigogo zaidi kuendelea kusaini fomu ya majina ya wabunge wasiokuwa na imani naye huku viongozi wa dini wakisema suala la mawaziri kung’oka ni la lazima.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, viongozi wa dini walisema kuwa suala la mawaziri hao kujiuzulu halina mjadala na kusisitiza kuwa kuwajibika kwa kiongozi kunamjengea heshima katika jamii.
Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Mhashamu Methodius Kilaini alisema kuwa kujiuzulu ni jambo la kawaida na kumtolea mfano Mzee Ali Hassan Mwinyi kwamba aliwahi kujiuzulu uwaziri na baadaye akachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania… “Kujiuzulu ni heshima siyo aibu… hili jambo mawaziri wote wanatakiwa kulitambua.”
Alisema kama ndani ya wizara imeibuka tuhuma na ikathibitishwa kinachofuata ni watendaji wakuu wa wizara husika kuachia ngazi.
Akizungumzia kitendo cha kupishana kwa kauli kati ya Waziri wa Viwanda na Biashara na wa Uchukuzi dhidi ya manaibu wao alisema, “Walitakiwa kuzungumzia tofauti zao katika vikao vya chama chao, siyo kujikosha katika vyombo vya habari.”
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum aliwataka mawaziri hao kuacha kujitetea katika mambo ambayo yanaonekana wazi kuwa yanawahusu.
“Hakuna sababu ya waziri kuanza kujiteteta katika jambo ambalo anaonekana wazi kuwa anahusika na ndiye mtendaji mkuu wa wizara yake,” alisema Sheikh Salum
Alisema mawaziri hao wanatakiwa kujiuzulu ili kulinda heshima zao huku akiwataka Watanzania kuwa na utaratibu wa kuwajibika pale wanapoona mambo hayako sawa.
Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (Tec), Askofu Yuda Thadei Ruaichi alisema: “Kama mtu umefanya mabaya kwa nini uendelee kung’ang’ania? Sisi tutakachokifanya ni kuwashauri watu kuhusu suala hili ila waondoke kama tuhuma zao zipo wazi.”
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Antony Lusekelo alisema taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inaleza wazi hivyo hakuna haja ya mawaziri hao kusita kuwajibika.
Alisema mawaziri hao wanatakiwa kuwajibika kabla ya Watanzania kuamua kuingia mtaani na kufanya maandamano… “Wakati ule wa Richmond kuna ambao waliwajibika. Sasa hawa wanasita kufanya hivyo kwa misingi ipi? Ukimya wao unaipa wakati mgumu CCM.”
Kamati yamshukia Maige
Katika hatua nyingine Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imependekeza kuwajibishwa kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige kwa madai ya kutengeneza mazingira ya rushwa katika ugawaji wa vitalu vya uwindaji.
Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake, James Lembeli pia imependekeza Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Ladislaus Komba achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa vibali vya kusafirisha wanyama hai kwenda Pakistan kinyume cha sheria.
Wakati akitoa vibali vya kusafirisha twiga wawili, viboko wawili na swala wanne kwenda Karachi, Pakistan mwaka 2010, Balozi Komba alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
Akisoma taarifa ya kamati hiyo bungeni jana, Lembeli alisema kamati yake pia inataka watumishi wote wa wizara hiyo waliohusika kwa namna moja au nyingine katika kashfa hiyo nao washtakiwe.
Lembeli alisema ugawaji wa vitalu vya uwindaji ulitawaliwa na dosari nyingi ikiwamo waziri mwenye dhamana kutangaza majina ya waliopata vitalu bila kuonyesha ni vitalu vipi walipewa na kampuni zisizo na sifa kupewa vitalu hivyo.
Mwenyekiti huyo alisema kampuni tatu, Mwanauta and Company Ltd, Kawawa Hunting Safaris Ltd na Malagarasi Hunting Safaris ziligawiwa vitalu kinyume na mapendekezo ya kamati ya ushauri kwamba zisipewe vitalu kwa kuwa hazina sifa.
Katika tuhuma hizo, kamati hiyo imebainisha kuwa Waziri Maige ambaye pia ni Mbunge wa Msalala, Shinyanga azipatia vitalu kampuni 16 ambazo hazikuomba na vingi vya hivyo vikiwa ni vya madaraja ya kwanza na pili.
Lembeli alisema dosari hizo ziliathiri dhana ya uwazi na misingi ya utawala bora na kuashiria kuwapo kwa rushwa hivyo kusababisha malalamiko kutoka kwa kampuni nyingine zenye sifa ambazo zilinyimwa vitalu.
“Kamati inapendekeza Bunge liitake Serikali kumwajibisha Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Ezekiel Maige kwa kutengeneza mazingira ya rushwa ikiwa ni pomoja na kuyanyang’anya vitalu makampuni 16 yaliyogawiwa vitalu bila kuomba,” alisema Lembeli.
Mponda asubiri rungu
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hadji Mponda alisema jana kwamba hatima yake ya kujiuzulu au kuendelea na uwaziri ipo kwa Waziri Mkuu.
Dk Mponda alitoa kauli hiyo alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari juu ya taarifa za kuwa mmoja wa mawaziri wanaotakiwa kuachia ngazi. Alikuwa akizungumza nao kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Chanjo na Malaria Duniani.
Alisema amepokea taarifa hizo za kuwa mmoja wa mawaziri wanaotakiwa kujiuzulu na lakini anasubiri uamuzi wa bosi wake.
Mkono asaini
Juzi usiku Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (Nec) na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, juzi usiku alisaini fomu ya majina ya wabunge wasiokuwa na imani na Waziri Mkuu yanayokusanywa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto kabwe.
Zitto alikuwa akikusanya saini za wabunge wasiopungua 70 ambao ni asilimia 20 ya wabunge wote ili awasilishe hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu kwa Spika wa Bunge.
Mkono alikuwa ni mbunge wa 74 na wa sita wa CCM kati ya 76 waliosaini fomu hiyo hadi jana mchana. Juzi usiku, Mkono alimpigia simu Zitto na kumtaka ampelekee fomu hiyo ili aweke saini yake.
“Mimi ni mjumbe wa NEC na nimepata nafasi hiyo kwa kuchaguliwa na wabunge wenzangu wa CCM, sasa ninapoona wabunge wenzangu wakiwemo wa CCM wanalalamikia utendaji wa mawaziri wetu kwa kuhusishwa na ufisadi wa fedha za umma na Serikali inakaa kimya ni lazima nichukue hatua,” alisema na kuongeza:
“Mawaziri wetu hata wafanye kosa gani sisi wabunge hatuwezi kuwawajibisha, ni mmoja tu naye ni Waziri Mkuu ambaye tunaweza kufanya hivyo. Sasa tumeona kuna mawaziri wamekutwa na kashfa mbalimbali na bado wanang’ang’ani kubaki kwenye nafasi zao hatuna jinsi, ili kuwang’oa nilazima tumuondoe Waziri Mkuu.”
“Sina tatizo na Pinda katika utendaji wake wa kazi lakini hatuwezi kuwaondoa mawaziri wenye kasoro bila ya kumwondoa yeye kwa mujibu wa sheria zetu, ndiyo maana nimesaini fomu hii kwa maslahi ya taifa langu.”
Wabunge CCM wanena
Baadhi ya wabunge wa CCM wametaka mchakato wa kuwang’oa mawaziri uende mpaka kwa watendaji wengine wa Serikali kwa kuwa ndiyo wahusika wakubwa wa matumizi mabaya ya fedha za umma.
Wabunge hao walitoa kauli hiyo jana katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Pia walipendekeza kutungwa kwa sheria itakayowajumuisha mawaziri na watendaji wakuu wa wizara na idara zinazotuhumiwa katika makosa ya uhalifu.
Mbunge wa Kalenga, Dk William Mgimwa alisema: “Hii siyo njia pekee ya kupambana na vitendo vya ubadhirifu serikalini lakini lazima tuanze na hatua hii ya kuwawajibisha mawaziri sababu ndiyo njia pekee ya kurejesha imani ya Serikali kwa wananchi.”
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina alitaka hadi kufikia kipindi cha Bunge kupitisha bajeti, watendaji wa Serikali wanaotumiwa na matumizi mabaya ya Serikali wawe wamechukuliwa hatua.
Alitaka makatibu wakuu wa Wizara na idara za Serikali, wakurugenzi wa miji na halmashauri za wilaya zinazotuhumiwa kwa ufisadi, kabla ya kikao cha Bunge la Bajeti la Juni, mwaka huu wawe wamechukuliwa hatua.
Imeandikwa na Fidelis Butahe, Geofrey Nyang’oro, Dar; Edwin Mjwahuzi, Masoud Masasi na Daniel Mjema, Dodoma
WAKATI wabunge wakiendelea kusaini fomu ya majina ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kiongozi huyo wa shughuli za Serikali bungeni jana alikwepa kuzungumzia hatua za kinidhamu dhidi ya mawaziri wanaokabiliwa na tuhuma mbalimbali.
Akiahirisha Mkutano wa Saba bungeni Dodoma, Pinda hakugusia suala la kujiuzulu kwa mawaziri wanane na badala yake alisema: “Siku zote Serikali imekuwa tayari kupokea ushauri wa Bunge baada ya kusikiliza mjadala na mapendekezo ya waheshimiwa wabunge.’’
Baada ya kuahirishwa kwa Bunge hadi Juni 12, mwaka huu. Pinda akiwa nje ya Bunge alikwepa kuzungumzia suala hilo licha ya kubanwa na waandishi wa habari na badala yake alicheka: "Haahaa," kisha akaingia kwenye gari na kuondoka.
Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe alisema kitendo cha Pinda kushindwa kuzungumzia chochote kuhusu agizo la wabunge kutaka mawaziri wanane wawajibishwe, kimewaacha wananchi katika hofu.
Alisema Waziri Mkuu ametoa hotuba nyepesi kama vile taifa haliko katika giza kutokana na Bunge kutaka kuwajibishwa kwa mawaziri hao na kuapa kulifikisha suala hilo kwa wananchi.
“Aliahirisha shughuli za Bunge kama hakuna kitu kikubwa kilichohitaji majibu ya Serikali, wananchi walitaka kusikia mawaziri waliotajwa kwa tuhuma za ufisadi wakiwajibishwa lakini, hakuna chochote kilichofanyika. Sasa sisi tutakwenda kwa wananachi.
Jumamosi iliyopita, Pinda aliahidi kuwa jana Serikali ingeweka hadharani msimamo wake kuhusu suala baadhi ya mawaziri kutakiwa kujiuzulu lakini hakutekeleza ahadi yake.
Jana, Waziri Mkuu alisema Serikali itachukua hatua stahiki kuimarisha usimamizi na utendaji ndani ya wizara, Serikali za Mitaa na vyombo husika katika kuhakikisha watendaji wake wanafanya kazi kwa umakini.
Mawaziri wazidi kubanwa
Wakati Pinda akikwepa kuzungumzia suala hilo, joto la mawaziri kutakiwa kujiuzulu linazidi kupanda baada ya vigogo zaidi kuendelea kusaini fomu ya majina ya wabunge wasiokuwa na imani naye huku viongozi wa dini wakisema suala la mawaziri kung’oka ni la lazima.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, viongozi wa dini walisema kuwa suala la mawaziri hao kujiuzulu halina mjadala na kusisitiza kuwa kuwajibika kwa kiongozi kunamjengea heshima katika jamii.
Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Mhashamu Methodius Kilaini alisema kuwa kujiuzulu ni jambo la kawaida na kumtolea mfano Mzee Ali Hassan Mwinyi kwamba aliwahi kujiuzulu uwaziri na baadaye akachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania… “Kujiuzulu ni heshima siyo aibu… hili jambo mawaziri wote wanatakiwa kulitambua.”
Alisema kama ndani ya wizara imeibuka tuhuma na ikathibitishwa kinachofuata ni watendaji wakuu wa wizara husika kuachia ngazi.
Akizungumzia kitendo cha kupishana kwa kauli kati ya Waziri wa Viwanda na Biashara na wa Uchukuzi dhidi ya manaibu wao alisema, “Walitakiwa kuzungumzia tofauti zao katika vikao vya chama chao, siyo kujikosha katika vyombo vya habari.”
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum aliwataka mawaziri hao kuacha kujitetea katika mambo ambayo yanaonekana wazi kuwa yanawahusu.
“Hakuna sababu ya waziri kuanza kujiteteta katika jambo ambalo anaonekana wazi kuwa anahusika na ndiye mtendaji mkuu wa wizara yake,” alisema Sheikh Salum
Alisema mawaziri hao wanatakiwa kujiuzulu ili kulinda heshima zao huku akiwataka Watanzania kuwa na utaratibu wa kuwajibika pale wanapoona mambo hayako sawa.
Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (Tec), Askofu Yuda Thadei Ruaichi alisema: “Kama mtu umefanya mabaya kwa nini uendelee kung’ang’ania? Sisi tutakachokifanya ni kuwashauri watu kuhusu suala hili ila waondoke kama tuhuma zao zipo wazi.”
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Antony Lusekelo alisema taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inaleza wazi hivyo hakuna haja ya mawaziri hao kusita kuwajibika.
Alisema mawaziri hao wanatakiwa kuwajibika kabla ya Watanzania kuamua kuingia mtaani na kufanya maandamano… “Wakati ule wa Richmond kuna ambao waliwajibika. Sasa hawa wanasita kufanya hivyo kwa misingi ipi? Ukimya wao unaipa wakati mgumu CCM.”
Kamati yamshukia Maige
Katika hatua nyingine Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imependekeza kuwajibishwa kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige kwa madai ya kutengeneza mazingira ya rushwa katika ugawaji wa vitalu vya uwindaji.
Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake, James Lembeli pia imependekeza Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Ladislaus Komba achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa vibali vya kusafirisha wanyama hai kwenda Pakistan kinyume cha sheria.
Wakati akitoa vibali vya kusafirisha twiga wawili, viboko wawili na swala wanne kwenda Karachi, Pakistan mwaka 2010, Balozi Komba alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
Akisoma taarifa ya kamati hiyo bungeni jana, Lembeli alisema kamati yake pia inataka watumishi wote wa wizara hiyo waliohusika kwa namna moja au nyingine katika kashfa hiyo nao washtakiwe.
Lembeli alisema ugawaji wa vitalu vya uwindaji ulitawaliwa na dosari nyingi ikiwamo waziri mwenye dhamana kutangaza majina ya waliopata vitalu bila kuonyesha ni vitalu vipi walipewa na kampuni zisizo na sifa kupewa vitalu hivyo.
Mwenyekiti huyo alisema kampuni tatu, Mwanauta and Company Ltd, Kawawa Hunting Safaris Ltd na Malagarasi Hunting Safaris ziligawiwa vitalu kinyume na mapendekezo ya kamati ya ushauri kwamba zisipewe vitalu kwa kuwa hazina sifa.
Katika tuhuma hizo, kamati hiyo imebainisha kuwa Waziri Maige ambaye pia ni Mbunge wa Msalala, Shinyanga azipatia vitalu kampuni 16 ambazo hazikuomba na vingi vya hivyo vikiwa ni vya madaraja ya kwanza na pili.
Lembeli alisema dosari hizo ziliathiri dhana ya uwazi na misingi ya utawala bora na kuashiria kuwapo kwa rushwa hivyo kusababisha malalamiko kutoka kwa kampuni nyingine zenye sifa ambazo zilinyimwa vitalu.
“Kamati inapendekeza Bunge liitake Serikali kumwajibisha Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Ezekiel Maige kwa kutengeneza mazingira ya rushwa ikiwa ni pomoja na kuyanyang’anya vitalu makampuni 16 yaliyogawiwa vitalu bila kuomba,” alisema Lembeli.
Mponda asubiri rungu
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hadji Mponda alisema jana kwamba hatima yake ya kujiuzulu au kuendelea na uwaziri ipo kwa Waziri Mkuu.
Dk Mponda alitoa kauli hiyo alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari juu ya taarifa za kuwa mmoja wa mawaziri wanaotakiwa kuachia ngazi. Alikuwa akizungumza nao kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Chanjo na Malaria Duniani.
Alisema amepokea taarifa hizo za kuwa mmoja wa mawaziri wanaotakiwa kujiuzulu na lakini anasubiri uamuzi wa bosi wake.
Mkono asaini
Juzi usiku Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (Nec) na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, juzi usiku alisaini fomu ya majina ya wabunge wasiokuwa na imani na Waziri Mkuu yanayokusanywa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto kabwe.
Zitto alikuwa akikusanya saini za wabunge wasiopungua 70 ambao ni asilimia 20 ya wabunge wote ili awasilishe hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu kwa Spika wa Bunge.
Mkono alikuwa ni mbunge wa 74 na wa sita wa CCM kati ya 76 waliosaini fomu hiyo hadi jana mchana. Juzi usiku, Mkono alimpigia simu Zitto na kumtaka ampelekee fomu hiyo ili aweke saini yake.
“Mimi ni mjumbe wa NEC na nimepata nafasi hiyo kwa kuchaguliwa na wabunge wenzangu wa CCM, sasa ninapoona wabunge wenzangu wakiwemo wa CCM wanalalamikia utendaji wa mawaziri wetu kwa kuhusishwa na ufisadi wa fedha za umma na Serikali inakaa kimya ni lazima nichukue hatua,” alisema na kuongeza:
“Mawaziri wetu hata wafanye kosa gani sisi wabunge hatuwezi kuwawajibisha, ni mmoja tu naye ni Waziri Mkuu ambaye tunaweza kufanya hivyo. Sasa tumeona kuna mawaziri wamekutwa na kashfa mbalimbali na bado wanang’ang’ani kubaki kwenye nafasi zao hatuna jinsi, ili kuwang’oa nilazima tumuondoe Waziri Mkuu.”
“Sina tatizo na Pinda katika utendaji wake wa kazi lakini hatuwezi kuwaondoa mawaziri wenye kasoro bila ya kumwondoa yeye kwa mujibu wa sheria zetu, ndiyo maana nimesaini fomu hii kwa maslahi ya taifa langu.”
Wabunge CCM wanena
Baadhi ya wabunge wa CCM wametaka mchakato wa kuwang’oa mawaziri uende mpaka kwa watendaji wengine wa Serikali kwa kuwa ndiyo wahusika wakubwa wa matumizi mabaya ya fedha za umma.
Wabunge hao walitoa kauli hiyo jana katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Pia walipendekeza kutungwa kwa sheria itakayowajumuisha mawaziri na watendaji wakuu wa wizara na idara zinazotuhumiwa katika makosa ya uhalifu.
Mbunge wa Kalenga, Dk William Mgimwa alisema: “Hii siyo njia pekee ya kupambana na vitendo vya ubadhirifu serikalini lakini lazima tuanze na hatua hii ya kuwawajibisha mawaziri sababu ndiyo njia pekee ya kurejesha imani ya Serikali kwa wananchi.”
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina alitaka hadi kufikia kipindi cha Bunge kupitisha bajeti, watendaji wa Serikali wanaotumiwa na matumizi mabaya ya Serikali wawe wamechukuliwa hatua.
Alitaka makatibu wakuu wa Wizara na idara za Serikali, wakurugenzi wa miji na halmashauri za wilaya zinazotuhumiwa kwa ufisadi, kabla ya kikao cha Bunge la Bajeti la Juni, mwaka huu wawe wamechukuliwa hatua.
Imeandikwa na Fidelis Butahe, Geofrey Nyang’oro, Dar; Edwin Mjwahuzi, Masoud Masasi na Daniel Mjema, Dodoma
Labels:
Asili Yetu blog
9:54 AM
KESI YA LULU AANGUA KILIO MAHAKAMANI NA KUBEMBELEZWA NA HAKIMU.
All rights reserved to Asili Yetu.
Tausi Ally
MSANII wa filamu, Elizabeth Michael Kimemeta maarufu kama Lulu, jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu huku akibubujikwa machozi kiasi cha kumfanya Hakimu Ritha Tarimo ambembeleze ili kumnyamazisha. Lulu anashtakiwa mahakamani hapo kwa kutuhuma za kumuua msanii mwenzake, Steven Kanumba na alifikishwa jana kwa mara ya pili akiwa chini ya ulinzi mkali wa askari Magereza na Polisi.
Lulu alifikishwa mahakamani hapo saa 3:06 asubuhi akiwa katika basi dogo la Magereza pamoja na mahabusu wengine wanawake ambalo lilikuwa likisindikizwa na magari mengine mawili na alikuwa chini ya ulinzi wa askari sita wa kike wa Magereza na askari mmoja wa kike wa Polisi wakishirikiana na askari wa kiume wa Magereza zaidi ya sita.
Mara baada kuingia katika chumba cha Mahakama, Lulu ambaye alikuwa amevalia dira jekundu alianza kulia kwa uchungu hali ambayo ilimlazimu Hakimu Tarimo pamoja na baadhi ya askari kumnyamazisha.
Kutokana na kujaa kwa watu mahakamani hapo, askari wa Kikosi Maalumu cha Magereza walilazimika kuufunga mlango wa Mahakama hiyo ili kesi hiyo isikilizwe.
Baada ya kesi hiyo kutajwa, Wakili Mwandamizi wa Serikali Elizabeth Kaganda aliiomba Mahakama iamuru watu wote watoke nje kwa sababu walikuwa wamefunga njia ili mtuhumiwa huyo aweze kupitishwa.
Hakimu Tarimo alikubaliana na ombi hilo na kuwaamuru askari kusafisha njia ili waweze kumpitisha msanii huyo kwa kile alichosema kuwa Lulu bado ni mtuhumiwa na anaweza kuumizwa.
“Askari safisheni njia ili mtuhumiwa aweze kupita kwa sababu yeye bado ni mtuhumiwa anaweza kuumizwa,"alisema Hakimu Tarimo.
Baada ya kutolewa kwa amri hiyo, askari walitimiza wajibu wao na muda mfupi njia ilipatikana na msanii huyo kutolewa mahakamani hapo.
Jopo la mawakili
Katika kesi hiyo, Lulu anatetewa na jopo hilo la mawakili akiwemo Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG), Joaquine De- Melo, Kenedy Fungamtama, Peter Kibatala na Fulgence Massawe.
De- Melo pia aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS) na mshindi wa Tuzo ya Mwanamke Jasiri Tanzania ya Martin Luther King.
Fungamtama ambaye ndiye kiongozi wa jopo la mawakili hao wanaomtetea Lulu, anakumbukwa kwa kuitetea kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans, katika kesi dhidi ya Tanesco, ambayo alishinda na shirika hilo kuamriwa kuilipa kampuni hiyo zaidi ya Sh94 bilioni kwa kuvunja mkataba.
Kibatala ambaye pia anamtetea kada wa Chadema, Fred Mpendazoe katika kesi ya uchaguzi Jimbo la Segerea, pia ni Makamu wa Rais wa TLS, wakati Massawe anatoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).
Mawakili hao walijitokeza jana mbele ya Hakimu Tarimo tayari kumtetea Lulu na baada ya mawakili hao kujitambulisha, Wakili Kaganda alisema upelelezi wa kesi bado haujakamilika na kuiomba Mahakama iipangie tarehe nyingine.
Hakimu Tarimo aliiahirisha kesi hiyo hadi Mei 7, mwaka huu itakapofikishwa mbele ya Mahakama hiyo kwa ajili ya kutajwa.
Kwa mara ya kwanza Lulu alifikishwa mahakamani hapo Aprili 10, mwaka huu mbele ya Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando akikabiliwa na la shtaka hilo la mauaji.
Wakili Kaganda alimsomea hati ya mashtaka alidai kuwa Aprili 7, mwaka huu katika maeneo ya Sinza Vatican, Wilaya ya Kinondoni, mtuhumiwa alimuua Kanumba. Kanumba alifariki dunia siku hiyo saa 9:00 usiku kwa kile kilichodaiwa kuwa ni baada ya ugomvi baina yake na Lulu.
MSANII wa filamu, Elizabeth Michael Kimemeta maarufu kama Lulu, jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu huku akibubujikwa machozi kiasi cha kumfanya Hakimu Ritha Tarimo ambembeleze ili kumnyamazisha. Lulu anashtakiwa mahakamani hapo kwa kutuhuma za kumuua msanii mwenzake, Steven Kanumba na alifikishwa jana kwa mara ya pili akiwa chini ya ulinzi mkali wa askari Magereza na Polisi.
Lulu alifikishwa mahakamani hapo saa 3:06 asubuhi akiwa katika basi dogo la Magereza pamoja na mahabusu wengine wanawake ambalo lilikuwa likisindikizwa na magari mengine mawili na alikuwa chini ya ulinzi wa askari sita wa kike wa Magereza na askari mmoja wa kike wa Polisi wakishirikiana na askari wa kiume wa Magereza zaidi ya sita.
Mara baada kuingia katika chumba cha Mahakama, Lulu ambaye alikuwa amevalia dira jekundu alianza kulia kwa uchungu hali ambayo ilimlazimu Hakimu Tarimo pamoja na baadhi ya askari kumnyamazisha.
Kutokana na kujaa kwa watu mahakamani hapo, askari wa Kikosi Maalumu cha Magereza walilazimika kuufunga mlango wa Mahakama hiyo ili kesi hiyo isikilizwe.
Baada ya kesi hiyo kutajwa, Wakili Mwandamizi wa Serikali Elizabeth Kaganda aliiomba Mahakama iamuru watu wote watoke nje kwa sababu walikuwa wamefunga njia ili mtuhumiwa huyo aweze kupitishwa.
Hakimu Tarimo alikubaliana na ombi hilo na kuwaamuru askari kusafisha njia ili waweze kumpitisha msanii huyo kwa kile alichosema kuwa Lulu bado ni mtuhumiwa na anaweza kuumizwa.
“Askari safisheni njia ili mtuhumiwa aweze kupita kwa sababu yeye bado ni mtuhumiwa anaweza kuumizwa,"alisema Hakimu Tarimo.
Baada ya kutolewa kwa amri hiyo, askari walitimiza wajibu wao na muda mfupi njia ilipatikana na msanii huyo kutolewa mahakamani hapo.
Jopo la mawakili
Katika kesi hiyo, Lulu anatetewa na jopo hilo la mawakili akiwemo Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG), Joaquine De- Melo, Kenedy Fungamtama, Peter Kibatala na Fulgence Massawe.
De- Melo pia aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS) na mshindi wa Tuzo ya Mwanamke Jasiri Tanzania ya Martin Luther King.
Fungamtama ambaye ndiye kiongozi wa jopo la mawakili hao wanaomtetea Lulu, anakumbukwa kwa kuitetea kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans, katika kesi dhidi ya Tanesco, ambayo alishinda na shirika hilo kuamriwa kuilipa kampuni hiyo zaidi ya Sh94 bilioni kwa kuvunja mkataba.
Kibatala ambaye pia anamtetea kada wa Chadema, Fred Mpendazoe katika kesi ya uchaguzi Jimbo la Segerea, pia ni Makamu wa Rais wa TLS, wakati Massawe anatoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).
Mawakili hao walijitokeza jana mbele ya Hakimu Tarimo tayari kumtetea Lulu na baada ya mawakili hao kujitambulisha, Wakili Kaganda alisema upelelezi wa kesi bado haujakamilika na kuiomba Mahakama iipangie tarehe nyingine.
Hakimu Tarimo aliiahirisha kesi hiyo hadi Mei 7, mwaka huu itakapofikishwa mbele ya Mahakama hiyo kwa ajili ya kutajwa.
Kwa mara ya kwanza Lulu alifikishwa mahakamani hapo Aprili 10, mwaka huu mbele ya Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando akikabiliwa na la shtaka hilo la mauaji.
Wakili Kaganda alimsomea hati ya mashtaka alidai kuwa Aprili 7, mwaka huu katika maeneo ya Sinza Vatican, Wilaya ya Kinondoni, mtuhumiwa alimuua Kanumba. Kanumba alifariki dunia siku hiyo saa 9:00 usiku kwa kile kilichodaiwa kuwa ni baada ya ugomvi baina yake na Lulu.
Labels:
Asili Yetu blog
5:10 PM
JUNIOR NAKOZ NA BRAND NEW SONGS KUTOKA A TOWN.
April 23, 2012
All rights reserved to Asili Yetu.
![]() |
| Junior Nakoz the Street Dogz. |
Junior Nakoz the Street Dogz from Ololoo area pande za Ara Moko hip hop
city North Tzee!!Kundi linaundwa na Mc;s watatu akiwemo "Yung G",LP", na
"Junior",Hizi ni release ambazo ziko hewani officially, na round hii
mpango mzima ni audio release kadhaa huku mchakato wa video
unaendelea!Tuko Pande za DSM kibiashara,watu wetu wa karibu big up sana
kwa support mnazotupatia.
Labels:
Asili Yetu blog
5:01 PM
MOPLUS NA LAVOSTI, NGOMA MPYA "Siku Nyingi"
All rights reserved to Asili Yetu.
Moplus aka Baba wa ukoo na Rasta Lavosti
wanakupa brand new joint inayokwenda kwa jina Siku Nyingi,Pini limeundwa
na defxtro pande za noizmekah.com,Concious music kwanza for the betterment of our youth and society,elimika & enjoy tha joint!!!!
Labels:
Asili Yetu blog
4:52 PM
ORAINE KUTOKA (Effect Zero) AMEDROP NEW SONG (Over That)
All rights reserved to Asili Yetu.
![]() |
| Doraine na Dj Mido (kushoto) |
Mwanadada Doraine,ni femcee toka arachuga na anadrop first track yake alorekodia pande za noizmekah.com chini ya defxtro.na hapa amemshirikisha DjMido wa kambi ya JamDropa Dj's,,Doraine ni member katika female group inayofahamika kama Effect Zero ambayo ipo katika race za kurecord album yao.
"game la music 2meweza kulisoma poa and hopefully me and ma girl Simaloi as EffectZero,we gwan rock the scene this year,we have faith in our management; Batoo Ent & the JamDropa deejays,our producers and most of all our fans"asema mwanadada Doreine.
Labels:
Asili Yetu blog
10:34 PM
KWAITO MPYA (Loop It) 'Rudbwoi Batoo', SPECIAL KWA KUPART
April 21, 2012
All rights reserved to Asili Yetu.
![]() |
| Rudbwoi Batoo |
Pata kusikiliza kwaito jipya la Rudbwoi Batoo toka pande za Chuga town,ikiwa ni noizmekah.com exclusive kwaajili ya party goers wote Tanzania. Hii pia ni kwa hisani ya JamDropa Deejays,Dj Mido & Deejay P..Projects zetu kama kawaida zinaendelea,nikiwa kama event organizer ningependa kutoa big up kwa Hip hop City a.k.a ChugaTown kwa kusupport wasanii wao kila 2napoandaa jam session pande zetu!!!
Hii kwaito ni project ya kwanza katika Jam Dropa Riddim Vol 1,ambayo inasimama kwa ukaribu zaidi na "Batoo Entertainment" ,Artist yeyote atakaye feel kurecord kwenye this beat awasiliane nasi kupitia page yetu ya "Batoo entertainment" katika facebook kisha 2tamtumia beat kwaajil ya kurecord!! Much respect kwa media zote including websites & Blogs,Jaaaaaah blesssss!!!
Labels:
Asili Yetu blog
10:21 PM
'QUALITY BROTHERS' NI WIMBO MPYA KUTOKA KWA "Slaiyank"
All rights reserved to Asili Yetu.
Slaiyank the Quality Brother aunga mkono campaign za kukomesha beto pande za ChugaTown,hii ni ngoma ya tatu ninayo release katika kutambulisha ujio wa album yangu ya "Kilicho bora",na single hii kaunda Defxtro pande za noizmekah.com,Track inaitwa Quality Brothers au kifupi "QB". Mategemeo yangu makubwa ni kuweza kuelimisha jamii kupitia muziki wangu na mimi kama Mc nasimama kama mfano kukanya fikra potofu kuwa ubabe na fujo ni ujanja,Music unakosa support kubwa sana kwa itikadi hizi maana kama ni ajira halafu tunawakosea mashabiki heshima je tutakula wapi!?
Labels:
Asili Yetu blog
8:19 PM
KUJIUZURU KWA MAWAZIRI TANZANIA KWA KANUSHWA NA WAZIRI MKUU KUWA NI UVUMI TU.
All rights reserved to Asili Yetu.
| Waziri mkuu Pinda (picha kutoka maktaba) |
Waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda amekanusha kuwa kuna mawziri
nchini wamejiuzuru kutokana na shinikizo la baadhi ya wabunge wa bunge
la jamuhuru ya muungano wa Tanzania.
Amesema hayo leo alipokutana na waandishi wa habari bungeni mkoani Dodoma na kumwambia kuwa kuna taarifa zimetoka gazetini zinazosema kuwa takribani mawaziri wa nane wamejiuzuru nyazifa zao.
Pinda amesema kuwa huo ni uvumi tu wa viombo vya habari kwasababu yeye ajathibitisha hilo kutokana hajapata kusoma hilo gazeti lililotoa habari hizo na wala hadi muda huu hajapata barua za kujiuzuru kutoka kwa mawaziri hao.
Ameongeza kuwa kama hizo taarifa ni za kweli basi ni vyema watu wakasubiri hadi juma tatu ndio jibu sahihi litatoka lakini kwa sasa ni haraka mno kwa sababu yeye hana taarifa hivyo awezi sema kitu juu ya hilo hadi atakapokuja kulithiitisha mwenyewe.
Amesema hayo leo alipokutana na waandishi wa habari bungeni mkoani Dodoma na kumwambia kuwa kuna taarifa zimetoka gazetini zinazosema kuwa takribani mawaziri wa nane wamejiuzuru nyazifa zao.
Pinda amesema kuwa huo ni uvumi tu wa viombo vya habari kwasababu yeye ajathibitisha hilo kutokana hajapata kusoma hilo gazeti lililotoa habari hizo na wala hadi muda huu hajapata barua za kujiuzuru kutoka kwa mawaziri hao.
Ameongeza kuwa kama hizo taarifa ni za kweli basi ni vyema watu wakasubiri hadi juma tatu ndio jibu sahihi litatoka lakini kwa sasa ni haraka mno kwa sababu yeye hana taarifa hivyo awezi sema kitu juu ya hilo hadi atakapokuja kulithiitisha mwenyewe.
Labels:
Asili Yetu blog
5:48 PM
WAKAZI WILAYANI BABATI WAKERWA NA TOPE PAMOJA NA MAJI YALIYOTUAMA STENDI YA MABASI MJINI HAPO.
April 20, 2012
All rights reserved to Asili Yetu.
Leo nimepata nafasi ya kuutembelea mji huu wa Babati, kwani nimekuwa
nikiusikia kwa takribani miaka kadhaa. Wakazi wa Babati wanajitahidi
katika swala zima la kilimo na maendeleo yao binafsi.
![]() |
| Stand kuu ya mji wa Babati ikiwa imefurika maji na matope. |
Wilaya ya Babati ni moja kati ya wilaya zilizopo katika mkoa wa Manyara. Wakazi wa mji huo hushughurika na shughuri mbali mbali zikiwemo za kilimo na biashara ndogo ndogo.Wakazi wa mji huo wa Babati wanaonekana kukerwa sana na kituo chao kikuu cha mabasi yaendayo mikoani hasa wakati huu wa mvua. Baadhi ya wakazi nilioongea nao wamedai kuwa stand hiyo hujaa maji na tope wakati wa mvua.Na nilipowauliza kuhusiana na serikali inalichukuliaje swala hilo, walisema kuwa imepanga kuhamisha kituo hicho na kujengwa sehemu nyingine, kitu ambacho kinasubiliwa bila siku hiyo kufika. Hata hivyo kutokana na hali ya hewa kuwa ni ya mvua nyingi, juhudi zangu za kuonana na uongozi wa mji huo wa Babati uligonga mwamba.
![]() |
| Hivi ndivyo hali ilivyo katika stendi kuu ya wilaya ya Babati. |
![]() |
| Uwanja wa mpira wa Babati ukionekana kujawa na majani. |
![]() |
| Chuo cha ualimu kilichopo wilayani Babati cha EVIDA MONTESSORI. |
Labels:
Asili Yetu blog
4:12 PM
KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHA BAINISHA BAADHI YA MAPUNGUFU YA TUME YA KATIBA.
All rights reserved to Asili Yetu.
| Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Bianadamu (LHRC) Bi. Hellen Kijo Bisimba akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa tamko kuhusiana na tume iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete. |
Ndugu wanahabari na wananchi kwa ujumla,
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu tumefuatilia kwa makinisana
mchakato wa Katiba mpya kuanzia ulipoanza mpaka hapa ulipofikia. Sote
tunafahamu kwamba hatua iliyofikiwa kwa sasa ni kuteuliwa na kuapishwa
kwa wajumbe wa tume ya kukusanya maoni juu ya mchakato mzima wa Katiba
mpya na namna ambavyo wananchi wangependa iwe.
Tunependa kupompongeza sanaMheshimiwa
Rais na Serikali kupitia wizara ya Katiba na Sheria kwa hatua
iliyofikiwa mpaka sasa kwenye mchakato mzima. Tunatoa pongezi kwa uteuzi
wajumbe wengi waliobobea katika fani mbalimbali za Sheria, Siasa na
Masuala ya kijamii. Tumefurahi kuona kuwa Mheshimiwa Rais amemteua kuwa
mwenyekiti wa Tume Jaji Joseph Sinde Warioba ambae tulishaona kazi
yake nzuri hususan pale alipoongoza vizuri tume ya Rais iliyohusu
masuala ya Rushwa. Tuna imani kuwa ataongoza tume hii kufanya kazi
nzuri. Wajumbe wa Tume hii ni 32 (akiwemo mwenyekiti na makamu)
waliapishwa tarehe 13/04/2012.
Wajumbe hao ni kamaifuatavyo;
Mwenyekiti wa
Tume ambaye ni Jaji Sinde Warioba na Makamu Mwenyekiti Jaji Mkuu
Mstaafu Agustino Ramadhani.Wajumbe wa tume toka Tanzania Bara ni Prof.
Mwesiga L. Baregu, Nd. Riziki Shahari Mngwali, Dr. Edmund Adrian Sengodo
Mvungi, Nd. Richard Shadrack Lyimo, Nd. John J. Nkolo, Alhaj Said El-
Maamry, Nd. Jesca Sydney Mkuchu, Prof. Palamagamba J. Kabudi, Nd.
Humphrey Polepole, Nd. Yahya Msulwa, Nd. Esther P. Mkwizu, Nd. Maria
Malingumu Kashonda, Mhe. Al-Shaymaa J. Kwegyir (Mb), Nd. Mwantumu
Jasmine Malale Na Nd. Joseph Butiku. 2 Wajumbe wengine 15 ni kutoka
Tanzania Zanzibar. Wajumbe hao ni Dkt. Salim Ahmed Salim, Nd. Fatma Said
Ali, Nd. Omar Sheha Mussa, Mhe. Raya Suleiman Hamad, Nd. Awadh Ali
Said, Nd. Ussi Khamis Haji, Nd. Salma Maoulidi, Nd. Nassor Khamis
Mohammed, Nd. Simai Mohamed Said, Nd. Muhammed Yussuf Mshamba, Nd.
Kibibi Mwinyi Hassan, Nd. Suleiman Omar Ali, Nd. Salama Kombo Ahmed, Nd.
Abubakar Mohammed Ali na Nd. Ally Abdullah Ally Saleh.
Mapungufu tunayoyaona;
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu tunaona mapungufu makubwa mawili kwa tume hii
i) Kuwemo kwa mbunge na mjumbe wa baraza la wawakilishi
ii) Uwakilishi finyu wa kijinsia na makundi mengine mfano vijana
Wawakilishi kuwa wajumbe
Kituo
hakikubaliani kabisa na uteuzi wa wakilishi wa wananchi (Mbunge na
Mjumbe wa Baraza la wawakilishi). Wajumbe hawa ni Mhe. Al-Shaymaa J.
Kwegyir (Mb) Tanzania Bara na Raya Suleiman Hamada mwakilishi Baraza la
Wawakilishi Zanzibar.
Sababu kubwa za kutokukubaliana na uteuzi wa wajumbe hawa ni kuwa kwanza,
hawa watashiriki kamawajumbe
wa Bunge Maalumu la Katiba (constituent assembly) kwa hiyo kuna
‘mgongano ulio dhahiri wa kimaslahi’. (kwa mujibu wa vifungu cha 6 na 22
(1) (a) na (b) vya sheria Namba 8 ya Mabadiliko ya Katiba, 2011)
Pili wananchi wanaowawakilisha watanyimwa haki yao ya kuwakilishwa kwa kipindi chote cha miezi 18 mpaka ishirini ambacho tume itafanya kazi kwa mujibu wa sheria.
Tatu, kuna
majina mengi ambayo mheshimiwa Rais alipelekewa yenye sifa za kutosha
angeweza kuwateua. Kulimbikiza kazi nyingi kwa watu wale wale si afya
kwa demokrasia.
Uwakilishi finyu wa kijinsia na makundi mengine
Katika tume hii tumeona kuna uwakilishi finyu sana wa makundi kwa mfano wanawake wako 10 kati ya 32, yaani sawa na asilimia 27% tu! Tungetegemea asilimia 50% kwa 50% kwani Tanzaniaimesaini na kuridhia mkataba wa nyongeza wa maendeleo ya kijinsia kusini mwa Afrika yaani SADC Gender Protocol. Pia 3 Tanzania ina asilimia ya 51 ya idadi ya wanawake ambao miongoni mwao wengi wana utaalamu na sifa za kuteuliwa kuwa wajumbe wa Tume.
WITO
I) Tunapenda kutoa wito kwa serikali kuwa mchakato wa Katiba ni wa muhimu sanahautakiwi
kuchukuliwa kwa wepesi. Mchakato huu unajenga mustakabali wa Taifa
letu kwa miaka mingi ijayo. Hivyo katika maamuzi yote yanayochukuliwa,
kuwe na jicho la HAKI ZA BINADAMU na utawala wa sheria.
II) Pia tunapenda kutoa wito kwa WANANCHI wote wa Tanzania,
mijini na vijijini, wakulima, wafanyakazi na wafanyabiashara, TUSHIRIKI
kwenye mchakato huu. Tunawasihi kuwa Tume ya Katiba itakapokuja kwenye
maeneo yetu
tuhudhurie mikutano yote na kutoa maoni yetu juu ya Katiba Mpya.
Wananchi katika makundi au mtu mmojamoja anaweza kupeleka maoni ya
maandishi kwenye tume mara anuani itakapojulishwa kwa wananchi.
III) Mwisho tunatoa wito kwa tume kuhakikisha watu wote wanatoa maoni yaobila ubaguzi. Makundi yote ya jamii yafikiwe (Wanawake, wanaume, watu wenye ulemavu na watoto wenye umri wa kutoa maoni).
Asanteni kwa kunisikiliza,
Dr. Helen Kijo-Bisimba
Mkurugenzi mtendaji- LHRC
Labels:
Asili Yetu blog
6:26 PM
'CANDLE LIGHT' BRAND NEW SONG FROM (Mirry Candle)
April 19, 2012
All rights reserved to Asili Yetu.
Mwanadada MirryCandle anayewakilisha pande za Kijenge Arachuga, anadrop
brand new video ya "CandleLight" ambayo imetengenezwa na mtu mzima
Benjamin wa Mambo Jambo, Audio ikiwa ni kazi toka kwa Samtimber Jumper
pande za Fnouk Studios Arusha, Kazii hii ni mojawapo kati ya zingine
nnne ambazo mwanadada amerecord, stay tuned for more and more.
Labels:
Asili Yetu blog
6:18 PM
'MY CITY' WIMBO MPYA KUTOKA KWA Vatoloco Ft. Jeezy Mabovu & JCB.
All rights reserved to Asili Yetu.
Mambo vip mdau wa music,hii ni kazi mpya kabisa ya jamaa wanaokwenda kwa jina la vatoloco,maskani yao ikiwa Arusha pande za erboru,hii ki kazi yao inaitwa MY CITY,wakiwa wamewashirikisha ,jcb,ibra da hasla na geez mabov,kazi imefanyika ktk studio iitwayo FNOUK STUDIOS ARUSHA,prodyuza akiwa ni samtimber,
TUNAOMBA USHIRIKIANO WENU.
Labels:
Asili Yetu blog
5:58 PM
'BARUA KWA MAMA' BRAND NEW SONG..."ANAPITA"
All rights reserved to Asili Yetu.
Anapita, msanii wa miondoko ya AfroFusion anayewakilisha chuga kaskazini mwa Tz,sasa aja na "barua kwa mama" alorekodi pande za noizmekah.com kwa defxtro,asema "wimbo huu nimeuandika kutokana na maisha ya mjini jinsi yalivyo, vijana wengi tumekuja kutafuta na mama zetu wako mbali na sisi, kwa jinsi maisha yalivyo wakati mwingine mshiko wa kumpigia mother hauna, na wakati mwingine mama mwenyewe kijijini hana simu mpaka kwa jirani,kuna wakati hawa wamama hudhani kwamba tumewasahu halafu huku mjini tunakula bata lakini si kweli, ni utaftaji hapa na pale changanyia na panda shuka ya gharama halisi ya maisha, pia kuna marafiki ambao kwa bahati mbaya mama zao washatangulia mbele za haki, nao hufikiria kuandika barua.Nawapenda mama zetu wote duniani kwasababu natambua umuhimu wao.Amani tele...
Labels:
Asili Yetu blog
4:15 PM
PICHA ZA WASHINDI NA WADAU WA TUZO ZA KILIMANJARO TANZANIA 2012
| Mmiliki wa blog ya "Asili Yetu" Victor Machota muda mfupi baada ya kuwasili katika tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music akiwa ni mmoja kati ya wadau maalum walio alikwa katika tuzo hizo. |
| Ali Kiba akiwa na dada yake pembeni wakati alipo twaa tuzo ya wimbo bora wa zuku rumba..."Dushelele" |
| Roma akiwa na Izzo B baada ya kuchukua tuzo ya wimbo bora wa Hip hop na baada ya muda mfupi pia alinyakua tuzo ya msanii bora wa Hip hop. |
| Diomond akitoa shukurani za dhati kwa familia yake pamoja na mashabiki wake baada ya kukabidhiwa Tunzo kutoka kwa msanii Chid Benzi.Diomond aliongoza kwa kupata tuzo tatu. |
| Gadna G Habash akimuwakirisha mkewe Lady Jay dee wakati wa kupokea tunzo yake. |
| Adam Mchonvu a.k.a Baba Jonii akijiandaa kumpatia tuzo msanii Barnabar |
| Barnabar akitoa shukurani baada ya kukamata tuzo yake. |
| Khadija Kopa |
| Isha Mashauzi (mkurya wa kwanza kuimba taarabu) akimikamata tunzo ya wimbo bora wa taarabu. |
| Queen Darlin akitoa shukurani kwa mashabiki baada ya kukabidhiwa tuzo ya wimbo bora wa Ragga/dancehall. |
| Worrier From The East wakiwa wameshikilia tunzo ya wimbo bora wa Rege (Arusha gold). |
Labels:
Asili Yetu blog
Subscribe to:
Posts (Atom)












































